KONGAMANO LA
KIMATAIFA LA KISWAHILI

"Ustawi wa Kiswahili Duniani: Tulikotoka, Tulipo na Tuendako"

TAREHE 7-10 NOVEMBA, 2024 | HAVANA, CUBA


Kuhusu Kongamano

Kongamano la Kimataifa la Kiswahili ni tukio lenye hadhi ya kidunia, linaloletwa kwetu kwa hisani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Cuba na Wadau wa Kiswahili Duniani kwa lengo la kukuza, kuenzi na kueneza lugha ya Kiswahili.

Karibu sana! ukutane na wataalamu, wakereketwa, na wadau wa Kiswahili toka sehemu mbalimbali Duniani. Utafurahi kutangamana nao na kuwa sehemu ya familia kubwa ya wasemaji wa Kiswahili. Jitayarishe kwa siku nne za mijadala, mafunzo na shughuli za Utamaduni na Utalii. Usikose fursa hii adimu, Jisajili sasa!

Wapi?

Havana, Cuba

Lini?

Alhamisi hadi Jumapili
Novemba 7-10, 2024

Watashiriki

Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Mhe. Dkt. Damas Daniel Ndumbaro
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo (WUSM)
Mhe. Humphrey H. Polepole
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Havana, Cuba

Ratiba ya Kongamano

UFUNGUZI WA KONGAMANO

Dkt. Filipo Lubua

KUWASILI KWA WASHIRIKI & BURUDANI

Burudani itatolewa na Janeth Band - Son de Primera

Dkt. Filipo Lubua

MGENI RASMI KUWASILI

Programu itahusisha uimbaji wa nyimbo za Taifa kwa Taifa la Kuba na Tanzania

Hubert Hirthe

UTAMBULISHO

Utambulisho utafuatiwa na burudani ya Ushairi kutoka kwa Abdurahman Famau kutoka Tanzania

Cole Emmerich

SALAMU ZA KITAIFA NA HOTUBA YA MGENI RASMI

Salamau za Rais wa Kuba, zitatolewa na Waziri wa Elimu ya juu wa Kuba

Hotuba ya Mgeni Rasmi Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, itatolewa na Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo.

Jack Christiansen

UZINDUZI WA KAMUSI

Kamusi ya lugha ya Kihispaniola na Kiswahili itazinduliwa, kisha kufuatiwa Burudani kutoka kwa Siti and the Band

Willow Trantow

CHAMCHA & MAPUMZIKO

Kisha viongozi kuelekea katika Bustani ya African Heros kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu la Nyerere

Alejandrin Littel

UWASILISHAJI WA MAKALA

Uwasilishaji wa makala kuendelea ukumbini

UWASILISHAJI MAKALA NA USIKU WA MSWAHILI

Cole Emmerich

CHAI & KUJISAJILI

Washiriki wote watahusika

Jack Christiansen

UWASILISHAJI MAKALA NA MIJADALA

Wawasilishaji waliopangwa wataongoza programu

Dkt. Filipo Lubua

CHAMCHA NA MAPUMZIKO

Watu wote

Willow Trantow

UWASILISHAJI WA MAKALA NA MIJADALA

Muendelezo wa uwasilishaji makala

Hubert Hirthe

SALAMU ZA BUNGE

Kutoka kwa Mhe. Husna Sekiboko (Mb) Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Elimu

Alejandrin Littel

HAFLA YA UFUNGAJI

Mgeni Rasmi ataongoza

Alejandrin Littel

MAANDALIZI YA USIKU WA MSWAHILI

Washiriki kupewa muda wa kujiandaa kwa ajili ya programu ya usiku wa Mswahili

Alejandrin Littel

KUWASILI KATIKA UKUMBI WA GRAN MUTHU HABANA

Washiriki kuanza kuwasili katika ukumbi wa Gran Muthu Habana tayari kwa kuanza programu ya usiku wa Mswahili

Alejandrin Littel

HAFLA YA USIKU WA MSWAHILI

Programu ya Usiku wa Mswahili kutekelezwa kwa kadri ya ratiba yake itakavyoongoza

UFUNGAJI KONGAMANO NA USIKU WA MSWAHILI

Dkt. Filipo Lubua

Washiriki kuwasili katika ukumbi wa Gran Muthu Habana

Washiriki wote wa kongamano

Hubert Hirthe

MGENI RASMI KUWASILI

Mgeni rasmi Mhe. Riziki Pembe(Mb) kuwasili kisha kupata burudani kutoka kwa Siti & The Band

Cole Emmerich

NENO LA UKARIBISHO

Kutoka kwa Bw. Gerson Msigwa, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo

Jack Christiansen

ONESHO LA MAVAZI YA KHANGA SEHEMU YA I

Kisha kufuatiwa na burudani kutoka kwa Abdurahman Famau (Mshairi)

Alejandrin Littel

ONESHO LA KHANGA SEHEMU YA II

Kisha kufuatiwa na hotubu ya Mgeni rasmi Mhe. Riziki Pembe(Mb) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Watoto pamoja na burudani kutoka kwa Siti & The Band

Willow Trantow

ONESHO LA MAVAZI SEHEMU YA III: KANZU, KOFIA, UBEBAJI BAKORA

Kisha kufuatiwa na neno la shukrani kutoka kwa Bi. Fatma Hamad Rajab

Willow Trantow

BURUDANI YA MUZIKI NA KUFUNGA

Kupata burudani ya muziki kutoka kwa Siti & The Band, Chakula na Kufunga.

Eneo la Kongamano

Picha mbalimbali kuonesha mandhari ya jiji la Havana mahali ambapo kutafanyika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili.

Havana, Cuba

Havana ndio mji mkuu na mkubwa zaidi wa Cuba. Ni moyo wa Mkoa wa La Habana, Havana ni bandari kuu ya nchi na kituo cha biashara. Ni jiji lenye watu wengi zaidi, kwa eneo ndio mji mkubwa kuliko yote, na wapili kwa ukubwa katika ukanda wa Karibiani. Idadi ya watu katika Jiji la Havana inakadiriwa kufikia ni 2,163,824, na ukubwa wa eneo lake ni 728.26 kmsq.

Hoteli

Baadhi ya Hoteli zinazopatikana katika jiji la Havana

Hotel Grand Aston La Habana

Avenida Malecón Entre 1Era Y Calle D, Havana 10400 Cuba

Iberostar Grand Packard

Calle Prado No. 51 Entre Carcely Genios, Havana 24000 Cuba

Mystique Habana by Royalton

Prado y Colon, Havana 10100 Cuba

Wahisani

Kongamano la Kimataifa la Kiswahili ni tukio lenye hadhi ya kidunia, linaloletwa kwetu kwa hisani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Cuba na Wadau wa Kiswahili Dunianit

TAARIFA ZA SAFARI

Wadau wote wa kiswahili ambao wamekamilisha taratibu za safari kuelekea Kuba kuhudhuria kongamano hili jijini Havana, kamati inawaalika kuandikisha taarifa zenu za safari kupitia fomu iliyopo hapa chini.

KONGAMANO LA KIMATAIFA LA KISWAHILI JIJINI HAVANA, NCHINI CUBA

7-10 /NOVEMBA, 2024

  • Usijaze fomu hii zaidi ya mara moja.
  • Taarifa zako zitatumika kwa ajili ya kuratibu ushiriki wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili jijini Havana, nchini Cuba.

Mawasiliano

Waweza kutoa maoni yako au kuwasiliana nasi kupitia:-

Anuani

Kongamano la Kimataifa la Kiswahili 2024

Miramar-Playa, Havana, Cuba

Tupigie Simu

+53 7204 1075-77 (Cuba)

+255 755-458854 (Tanzania)

Tuma Baruapepe

havana@nje.go.tz(Cuba)

km@bakita.go.tz(Tanzania)

Machapisho

Machapisho mbalimbali kuhusu Kongamano